Friday, 4 July 2014

KASHFA YA VYETI GHUSHI NIGERIA


  
   
Mwenyekiti wa Shirikisho la soka nchini Nigeria,Aminu Maigari
       I
dara ya ujasusi nchini Nigeria imemtia nguvuni mwenyekiti wa shirikisho nchini humo   
Aminu Maigari  kwa madai ya vyeti ghushi.Inaripotiwa kuwa Maigari imetiwa nguvuni baada ya kuwasaili katika uwanja wa michezo wa Nnamdi Azikiwe mjini Abuja,Keshi hiyo hapo awali ilikua ikiendeshwa katika Mahakam ya Jos siku ya jumatatu.Aidha duru zinaripoti kuwa Maigari amekua akiendesha shughuli za ofisi na vyeti ghushi habari hizi pia zimetolewa na mtandao wa  www.gongnews.net

 Said PiePie,Nairobi.

No comments:

Post a Comment