Tuesday, 1 July 2014

KRA YASAJILI 4


Kocha wa KRA Ken Kenyatta akitoa maelekezo

    Watoza ushuru  (KRA)  wamewasajili wachezaji wa nne akiwemo  Hassan Musaja Mohammed aliyekua kwa kikosi cha AFC Leopards  kwa kandarasi ya miezi sita,Ezekiel Odero tokea  Thika United  na pia aliyekua mchezaji wa  Tusker FC na  Sofapaka hapo awali George Opiyo. Anayekamilisha orodha hii ni Robert Binja aliyekua strika wa Sofapaka wali.

Said PiePie,Nairobi.

No comments:

Post a Comment