Monday, 16 June 2014

TUSKER YAZIDI KUNOGA



Tusker  Fc washerehekea ushindi wao dhidi ya Ingwe
     Nahodha wa  Tusker Fc  almaarufu wanamvinyo Samwel Odhiambo amesema kuwa timu yake iko katika hali nzuri yaku kung’ang’ania taji la KPL msimu huu alisema haya mapema hii leo.Hapo jana Wanamvinyo hao ilicharaza Inmgwe mabao 2-1 katika mechi za Nane bora katika  uchanjaa wa Kinoru,Meru.Kwa sasa Tusker inashikilia nafasi ya tatu na alama 27 katika jedwali la ligi ya primia humu nchini.



Said PiePie,Nairobi.

No comments:

Post a Comment