|  | 
| Charles Ssemanda ambae amesajiliwa na Muhoroni Fc | 
         Strika wa Uganda Charles Ssemanda na
mlinda lango  Allan Owiny wameonyesha
furaha yao baad a ya kujiunga na klabu ya MuhoroniWawili hao wameandikisha mkataba wa
miaka 2
Ssemanda ralishiriki katika ligi ya 
 FUFA nchini Uganda huku naye Owiny 
 akichezea klabu ya 
Uganda Revenue Authority (URA) FC.MchezajI mwingine kutoka Uganda anayeskatia Muhoroni na beki
  Hamidu Kwizera.
Said PiePie,Nairobi