Thursday, 19 June 2014

WENDO AGURA MATHARE






Kenneth Wendo
          Kenneth Wendo amegura klabu ya Mathare United baada  ya kandarasi yake kukamilika  Jumamosi ya Juni 14.Strika huyo alijiunga na Mathare katikati yamsimu uliopita kwa kandarasi ya mwaka 1.

Said PiePie,Nairobi.

MUHORONI YAPATA HUDUMA MPYA


Charles Ssemanda ambae amesajiliwa na Muhoroni Fc

         Strika wa Uganda Charles Ssemanda na mlinda lango  Allan Owiny wameonyesha furaha yao baad a ya kujiunga na klabu ya MuhoroniWawili hao wameandikisha mkataba wa miaka 2
Ssemanda ralishiriki katika ligi ya  FUFA nchini Uganda huku naye Owiny  akichezea klabu ya Uganda Revenue Authority (URA) FC.MchezajI mwingine kutoka Uganda anayeskatia Muhoroni na beki  Hamidu Kwizera.


Said PiePie,Nairobi