Tuesday, 24 June 2014

SOFAPAKA YAPATA MLINDALANGO MPYA




 Mutuyimana mlindalango wa Kiyovu Sports

   Timu ya Sofapaka almaarufu Babatoto ba Mungu imekubali kumsajili mlinda lango  kutoka timu ya taifa ya Rwanda anayetokea klabu ya Kiyovu sports
Kulingana na mwenyeketi wa Sofapaka Elly Kalekwa kupitia mtandao amesema majadiliano rasmi yanaendelea na hivi karibuni mlinda lango huyo atajiunga nao.Kuwasili kwa  Mutuyimana katika klabu ya sofapaka kutasaidia pakubwa  kwani kipa wao Duncan Ochieng’ kwa sasa bado anauguza jeraha.

Said PiePie,Nairobi