Monday, 23 June 2014

ORIGI ANG'ARA BRAZIL




Origi anayesakatia kabumbu taifa la Ubelgiji na Lille ya Ufaransa.
          Divock Origi amemshukuru babake mzazi kwa kuhudhuria mechi ya hapo jana dhidi ya Urusi, jambo ambalo amesema lilichangia pakubwa ushidi  wao wa jana,huku Ubelgiji ikijiaandika nafasi katika 16 bora katika michuano ya kombe la dunia inayo endelea kule Brazil.Kwa sasa Ubelgiji inaangoza kundi la HA na alama 6.
Hapo awali Origi ilichezea timu za  U15, U16, U17 na U19 zote za  Ubelgiji  huku akifunga bao lake la kwanza kwa ka timu ya U19 katika mechi za UEFA 2013
Ubelgiji walizaba Urusi 1-0.


Said PiePie, Nairobi.