![]() |
Alexis Sanchez aliyekua mchezaji wa Barcelona hapo awali |
Hatimaye klabu
ya Arsenali imenasa huduma za mchezaji Alexis Sanchez kutokea klabu ya
Barcelona kwa kima cha dola pauni 32.Sanchez mwenye umri wa miaka 25
ndiye mchezaji wa kwanza kusajiliwa msimu huu aidha Arsenali inapania kunasa Mathieu
Debuchy kutoka klabu ya Newcastle.Wakati uo huo Sanchez ameonuesha
kuridhika kwake kuhaima klabu ya Arsenali akisema anatarajia kupata tajriba ya
juu n klabu hiyo.Klabu hiyo pia anammezea mate kiungo
wa kati mzaliwa wa Tunisia anayeisakatia
Ujerumani Sami Khedira hata hivyo duru zinaripoti kuwa kitita ambacho Khedira huenda akalipwa
kitamfanya awe mchezaji ghali katika kambi ya wanabunduki.
Said PiePie,Nairobi.