![]() |
Aliyekua Strika wa Chelsea Demba Ba |
Aliyekua Strika wa Chelsea Demba Ba amewasili Uturuki anakotarajiwa kukamilisha uhamiaji wake kutoka Chelsea hadi Besiktas kwa gharama ya £8m. Strika huyo mwenye umri wa mika 29 ameyathibitisha hayo katika mtandao wa Twitter akiwaamevalia jezi ya Besi-ktas.Aidha.Wakati uo huo Chelsea wamejibu kwa kumshawishi Filipe Luis aihame Atletico Madrid ili ajiunge nao.Msimu uliopita Luis alishiriki mechi zaidi ya 40 na kilele ikawa Atletico kushinda La Liga kwa mara ya kwanza tangu 1996.Demba Ba amewahi kuifungia Chelsea mabao 14.
Said PiePie,Nairobi.