Wednesday, 16 July 2014

GAAL AWASILI OLD TRAFORD LEO


Louis van Gaal kocha wa Manchester United
    Louis van Gaal anaingia hii leo Old Trafford  na kuannza rasmi kuwanoa Manchester United.
Aidha Meulensteen aliyefanya kazi na  Sir Alex Ferguson hapo awali amekiri kuwa itamchukuaLouis van Gaal ngavi ngumu kukiivisha kikosi cha United ambacho kimzembea kwa sasaMechi yao ya kwanza msimu ujao United watafungua pazia na klabu ya  Swansea.Man United walimaliza msimu uliopita katika nafasi ya saba jambo ambalo liliwaudhi maafisa wa klabu hiyo pamoja na mashabiki wa United dunia nzima.Hali iliyochangia kutimuliwa kwa david Moyes.Gaal aliwaongoza Uholazi kufika michuano ya semi fainali kombe la dunia nchini Brazil mwaka huu.

Said PiePie,Nairobi.

LIVERPOOL YAMSAJILI MARKOVIC


Lazar Markovic aliyekua mchezaji wa Benfica
 Klabu ya  Liverpool imemsajili  Lazar Markovic  kwa kima cha Pauni millioni 20 kutoka Benfica.Mserbia huyo aliiwezesha klabu ya Benfica kutwaa taji la Ureno msimu uliopita na anasema anamatumaini makubwa ya kuwaridhisha mashabiki na mwenye club hiyo.Katika dirisha la usajili msimu huu Liverpool wamenasa wachezaji kadhaa wakiwemo Mshambuliaji Rickie Lambert, 32 kwa pauni £4m na Adam Lallana, mwenye umri wa miaka 26, kwa pauni £25m, wote walitokea Southampton na Divorc Origi kutokea humu nchini.

Said PiePie,Nairobi.