![]() |
Strika wa Ulinzi Stars Anthony Mulinge Ndeto |
Aidha Ndeto ameongeza kuwa Ulinzi imepoteza strika mahiri aliyejitolea kukuza mchezo wa soka katika klabu hicho.
Ndeto amewatakia jamaa familia na rafiki kuwa na subra wakati huu mgumu kwa kumpoteza mpendwa wao.Simuyu aliiaga dunia Julai 24 wiki ilililopita baada ya kuvamiwa na majambazi alipokua akisafiri toka Nairobi kuelekea Nakuru.
Said PiePie,Nairobi.
No comments:
Post a Comment