Wednesday, 18 June 2014

MUAKA AELEKEA CITY STARS







Levy  Muaka ambaye amehamia City Stars
        Klabu ya Nairobi City Stars imemsajili kiungo wa kati Levy Muaka kutoka timu kutoka Vapor Fc kwa kandarsi ya miaka miwili.Taarifa hii imetolwa mapema hii leo na naibu kocha klabu ya City stars Joseph Jagero.
Aidha Jagero ameongeza kuwa wachezaji wengine ambao klabu yake imewapa kandarsi ni pamoja na  Oscar Mbugua na Wayne Ochieng
Nairobi city stars kwa sasa iko na alama 14 huku ikishikilia nafasi ya 14 katika jedwali la ligi ya primia humu nchini.


Said PiePie,Nairobi.

No comments:

Post a Comment