Wednesday, 18 June 2014

TUSKER YAMSAINI NG'ANG'A





   
Dennis Ng'ang'a aliyekua mchezaji wa Nairobi Stars hapo awali
          Tusker  FC  hatimaye wamnyakua  Dennis Ng'ang'a kutoka klabu Nairobi city kwa kandarasi ya  miaka 2.Kandarasi hii imetangazwa rasmi na mwelekezi  wa klabu ya wanamvinyo Charles Obiny akiongeza kuwa wamemtema raia wa Nigeria Governor aidha Jeffrey amelalama kuwa huduma za mchezaji huyo zimekua zikididimia kila uchao.

Said PiePie,Nairobi.


No comments:

Post a Comment