Tuesday, 17 June 2014

INGWE YAMTEMA MUSAJA

Hassan Mohamed ambaye ametemwa na Ingwe

     Strika  Hassan Mohammed almaarufu Musaja ametemwa na  AFC Leopards. Musaja hapo awali alichezea klabu ya  Kenya Revenue Authority (KRA) FC almetemwa kufuatia mchezo duni ambao alionyesha hapo awali
Habari hiz izimetolewa na Katibu wa mipango wa mipano Timothy Lilumbi wa klabu ya Ingwe.
Strika huyo alijiunga na Ingwe kwa kandarasi wa miak miwili kutoka KRA kwa kima cha shilingi alfu 200.


Said PiePie,Nairobi.

No comments:

Post a Comment