Friday, 11 July 2014

SANCHEZ AWASILI EMIRATES


Alexis Sanchez aliyekua mchezaji wa Barcelona hapo awali

      Hatimaye klabu ya Arsenali imenasa huduma za mchezaji Alexis Sanchez kutokea klabu ya Barcelona kwa kima cha dola pauni 32.Sanchez mwenye umri wa miaka 25 ndiye mchezaji wa kwanza kusajiliwa msimu huu aidha Arsenali inapania kunasa Mathieu Debuchy kutoka klabu ya Newcastle.Wakati uo huo Sanchez ameonuesha kuridhika kwake kuhaima klabu ya Arsenali akisema anatarajia kupata tajriba ya juu n klabu hiyo.Klabu hiyo pia anammezea mate kiungo wa kati mzaliwa wa Tunisia anayeisakatia  Ujerumani Sami Khedira hata hivyo duru zinaripoti kuwa  kitita ambacho Khedira huenda akalipwa kitamfanya awe mchezaji ghali katika kambi ya wanabunduki.

Said PiePie,Nairobi.







No comments:

Post a Comment