Thursday, 17 July 2014

DIEGO AELEKEA CHELSEA


Diego Costa aliyekua strika wa  Atletico Madrid,
Strika wa Atletico Madrid,Diego Costa amejiunga na klabu ya Chelsea kwa kwa kandarasi ya miaka mitano kwa kima cha  £32mAidha mshambulizi huyo amekuwa mchezaji wa tatu kujiunga na Chelsea baada ya Cesc Fabregas na Mario Pasalic.Costa amefungia Atletico mabao 52  msimu uliopita ambapo walishinda taji la kwanza la La Liga tangu 1996 na kufikia kuwa mabingwa wa ligi.Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho aliongeza mshambulizi matata katika kipindi hicho.Costa atajiunga na mchezaji mwenza wa kimataifa Cesc Fabregas kutokana na matokeo duni ya uhispania katika kombe la dunia ambapo walibanduliwa nje katika hatua ya kwanza ya kikundi.Wakati uo huo Costa ameonyesha furaha yake kujiunga na Chelsea akisema kuwa ataonyesha umahiri wake ulaya.

Said PiePie,Nairobi.

No comments:

Post a Comment