|  | 
| Aliyekua mchezaji wa Afc leopards Allan Wetende Wanga | 
      Wakenya nchini Sudan wamempokea  aliyekua strika wa AFC leopards Allan Wanga
kwa shanngwe na nderemo  baada yake
kujiunga na kikosi cha El Merreikh kwa
kandarasi ya mwaka mmoja.Pamoja na waliompokea
Wanga ni wachezaji  wa El Merrieh na Suleiman
Akida mwanakamati wa timu hiyo. Kiungo wakati
wa Gor Mahia  Teddy Akumu pia anasakatia
klabu hiyo
Said PiePie,Nairobi.
 
 
No comments:
Post a Comment