Tuesday, 15 July 2014

STARS KUMENYANA NA BURUNDI LEO


Kikosi cha Stars katika kambi ya mafunzo
      Timu ya taifa ya harambee stars itachuana na Burundi katika mechi ya kirafiki hii katika uga wa Nyayo.Mechi ya leo ni katika maandalizi ya michuano ya  kufuzu  AFCON 2015 mechi itakayo karagazwa huku Lesotho katika uga wa Maseru Julai 20.
Katika mchuano wa leo refarii wa katikati ya uwanja ni Ssali Mashood akisaidiwa na Bugembe Hussein na   Ngobi Balikoowa wote kutokkea nchi ya Uganda.Mechi hiyo imeratibiwa kusakatwa hii leo saa kumi na moja jioni katika uga wa Nyayo

Said PiePie,Nairobi.

No comments:

Post a Comment