![]() |
Kikosi cha Stars katika kambi ya mafunzo |
Katika mchuano wa leo refarii wa katikati ya uwanja ni Ssali Mashood akisaidiwa na Bugembe Hussein na Ngobi Balikoowa wote kutokkea nchi ya Uganda.Mechi hiyo imeratibiwa kusakatwa hii leo saa kumi na moja jioni katika uga wa Nyayo
Said PiePie,Nairobi.
Said PiePie,Nairobi.
No comments:
Post a Comment