Monday, 14 July 2014

SCHOLARI APIGWA KALAMU


  Luis Felipe Scolari,aliyekua kocha wa Brazil
   S
hirikisho la kandanda nchini brazil limempiga kalamu kocha ya timu ya taifa hilo Luis Felipe Scolari baada ya kuandikisha matokeo duni katika kombe la dunia lililomalizika hapo jana.Brazil walizabwa 3-0 na Uholanzi  siku ya Jumamosi,hata hivyo habari rasmi itatolewa baadaye hii leo. Aidha Delfim Peixoto, mmoja wa wanalkamati wa shirikisho hilo amesema kuwa Scholkari hatasalia kuwa kocha wa timu hiyo baada ya kuonyesha mchezo duni.Scholari iliongoza Brazil mwaka wa 2002 katika michuano ya kombe la  dunia nchini Japa.Habari hizi zime chapishwa na Globo TV

Said PiePie,Nairobi.

No comments:

Post a Comment