Monday, 16 June 2014

GOR YAMSAINI OTIENO




       
 
Timothy Otieno Talanta Fc

     Klabu ya Gor mahia ametia mkataba wa miezi sita na kiungo wa kati  wa Talanta FC Timothy Otieno,Kiungo huyo anauwezo mkubwa na aliisaidia klabu yake hapo awali kunyakua mataji kadhaa hatua iliyopelekea klabu nyingi kummezea mate. Kiungo huyo.Alifuzu kutoka National Youth Talent Academy (NYTA) pia ni mwanafunzi wa zamani wa shule ya upili ya Kakamega.

Said PiePie,Nairobi.

No comments:

Post a Comment