Wednesday, 25 June 2014

LAMOUCHI AGURA IVORY COAST



Aliyekua kocha wa Ivory Coast Sabri Lamouchi


        Kocha wa Ivory Coast Sabri Lamouchi amejiuzulu baada ya timu yake kuzabwa 2-1 na Ugiriki hapo jana katika mechi ya kuisismua
Lamouchi aliliambia jarida la AFP katika mahojiano jana baada ya mechi hiyo kumalizika aidha raia huyo wa Ufaranza mwenye umri wa mika 42 amesema kuwa kandarasi yake ilimalizika jana.
Hata hivyo amedokeza kuwa kushindwa kwake kulichangiwa na mchezo duni ambao wachezaji wake walionyeshwa baada ya kupoteza fursa tumbi nzima waliopata.Lamouchi ilianza kuwaongoza Ivory Coast mnamo Mei 2012.

Said PiePie,Nairobi.




No comments:

Post a Comment