 |
Lazar Markovic aliyekua mchezaji wa Benfica |
Klabu ya Liverpool imemsajili Lazar Markovic kwa kima cha Pauni millioni 20 kutoka Benfica.Mserbia huyo aliiwezesha klabu ya Benfica kutwaa taji la
Ureno msimu uliopita na anasema anamatumaini makubwa ya kuwaridhisha
mashabiki na mwenye club hiyo.Katika dirisha la usajili msimu huu Liverpool wamenasa wachezaji kadhaa wakiwemo Mshambuliaji Rickie Lambert, 32 kwa
pauni £4m na Adam Lallana, mwenye umri wa miaka 26, kwa pauni £25m, wote
walitokea Southampton na Divorc Origi kutokea humu nchini.
Said PiePie,Nairobi.
No comments:
Post a Comment