|  | 
| Lazar Markovic aliyekua mchezaji wa Benfica | 
 Klabu ya  Liverpool imemsajili  Lazar Markovic  kwa kima cha Pauni millioni 20 kutoka Benfica.Mserbia huyo aliiwezesha klabu ya Benfica kutwaa taji la 
Ureno msimu uliopita na anasema anamatumaini makubwa ya kuwaridhisha 
mashabiki na mwenye club hiyo.Katika dirisha la usajili msimu huu Liverpool wamenasa wachezaji kadhaa wakiwemo Mshambuliaji Rickie Lambert, 32 kwa 
pauni £4m na Adam Lallana, mwenye umri wa miaka 26, kwa pauni £25m, wote
 walitokea Southampton na Divorc Origi kutokea humu nchini.
 
Said PiePie,Nairobi. 
 
No comments:
Post a Comment