Wednesday, 29 October 2014

PAUNI 500 KWA MO HAWK YA BALOTELI

           
Mario Baloteli kwenye ikifanyolewa mtindo wa Mo Hawk

M
shambuliaji wa klabu cha Liverpool mario baloteli hutumia pauni 500 kila wiki ambazo ni sawa na sh72,000(£500) kila wiki kujitengezea nywele.imeripotiwa zinasema kuwa mchezaji huyo ambaye hupendelea kunyoa mtindo wa mo hawk mbali na kubadilisha rangi ya nywele zake humlipa kinyozi wake ili kumtembelea nyumbani kwake mara tano kwa wiki.Duru zimeliambia gazeti la the sun nchini uingereza kwamba Mario huwa mkarimu sana kwani yeye hulipa pauni hamsini sawa na shilingi 7200 pesa
  kenya kila anaponyolewa.